Friday, December 9, 2011

Happy Golden Jubilee Tanzania...



May God Bless Tanzania
May God bless Tanzanians
May God Bless U and Me...

Abdulnaseeb liberatath kavishe and Mwanaidi Fadhil msuya's Wedding Reception..PART II


Baba wa Mwanaidi akitoa nasaha kwa maharusi

MC

Ndafu akaletwa..

Mzima mzima full kutamanisha..

Mlishe,mlishe...aaaaam

Ebu na sie tulishane aaaaam

                                                                   MENU TIME








FIRST DANCE

Blues 4 ladies..skujua kama ndo hua linachezwa hivi..

Si ndo mziki ukachanganya bwana,kitu cha qyto bi harusi full mzuka,kwa raha zake..


ZAWADI TIME
Mama na baba walianza

Da catherine..


Kamati wakikabidhi zawadi zao

Baba Ma=wanaidi

Mama Mwanaidi
Cooperative society ya Bwana harusi
Wadogo wa bwana harusi wakiingia kutoa zawadi

Jirani wa bwana harusi akitunza..
Ikafika  time ya mama kufutwa jasho..

Zawadi from mawifi wa Mwanaidi
MAPOWZ
                                    

                                                           

ZE END