Sunday, September 18, 2011

Reminice Ramadan...part 2

IfTAR @Sofia and Faraji's place...
Menu ndo kama hiyo uinonavyo

Gents Side
Mrs Omar Ngunde akiweka mambo fresh

Mrs Cholo Mbili kwa pozi....

Ladies Side


Da Tabu huyo




Mie nilikaa kwenye kona hii kama uonavyo nililenga sekta za nyama nyama...tehtehteh


Maa unashangaa nini?


Adil with Uncle Mody


Mr and Mrs Faraji Mwinjaka wakiwa hoi baada ya wageni kuondoka,me nkajilaza pale kwenye kiti nyuma

Walihakikisha kila mtu kapiga menu ya kutosha na hapo ndo wao wakawa wanajisevia mwishoni

Hoi...
Heee Aunty ysha mbona unapenda picha hivyo?

Sasa zamu yangu na mie niangalie camera..
Na hiyo ndo ilikua mialiko ya iftar za mwisho mwisho ya ramadhan niliona tujikumbushie kidogo...