Monday, December 5, 2011

Mwanaidi Fadhil Msuya's Send off Party

Who:Mwanaidi Fadhil Msuya
What:Sendoff party
Where: Kualalumpur hall
When:01 December 2011
Colour:Pink and purple
The stage..

The beautiful Mwanaidi

Smile haimtoki usoni mwake..mashaallah

Sherehe ikifunguliwa kwa dua
Utambulisho ukaanza

Mama mzaa chema
Mabibi wa Bi harusi
Baba mdogo wa bi harusi 
Babu wa bi harusi...
Bibi alienda kumkumbatia mjukuu wake..
Hakuishia hapo akaanza kuyarudi..chezea bibi
Champaigne Tym
Champaigne tym..starring mwenyewe..

With a bit of help..
Baraka za wazazi muhimu kabla kufungua..


Haya funguaaaaaa...

Full usukani bi harusi..
Kwa wakwe..
Cheeeeeers...

toasting tym..





Toasting kwa viduku...chezea

Shangazi huyoooo..
CAKE TYM


Piece to my matron..thanks for being here with me

Pleasure is mine dear friend..
Much love...
To my dear parents..






Mzee Fadhil msuya akitoa nasaha

Mrs Msuya huyo..pendedha mama

Will always love u my dear parents..

SAKA MUME TYM
Namsaka mume wangu,namsaka mume wangu..

Tafuuuuuta pande zote

Alipoenda kumkuta sasa,chini ya meeeza...

May u be blessed with that smile on ur faces for eternity..



Mr Abdulnassir liberatath kavishe,mume halali wa bi Mwanaidi Fadhil Msuya..

Off to the buffet..






Mlishe,mlishe aaaaammmm

Burudani pia ilikuwepo..

Qyto haikukosekana..



Wapokeaji wa zawadi wakichkua nafasi zao..
ZAWADI TYM
Oven hiyo..





Mashangazi..



Mama pia alitunzwa..


Na  kati ya PSPF..

Hapo ni hela tu zazunguka..







Kapu lingine la mama achana na lile la kitchen party

Chezea Mrs Msuya..


Mwanangu pale upo full..

Chozi likamwagika Bi harusi

Ze kamati..


Zawadi from ze kamati..

Neno la shukrani..

Tena chozi likamtoka kwa furaha..

Shangazi akikabidhiwa sanduku from wakwe..

Waalikwa





















Ze End...
Bado Photos za reception sasa,ushawahi muona princess in bongo,ndo mwanaidi alivyotoka siku hiyo..
stay tuned..