Tuesday, September 20, 2011

mijikeki ya prezdaa..




Kiingiacho mjini sunna kua nacho kama prezdaa alivyowakilisha kitu cha Cupcakes and kama wataka kuwa wa kileo kwenye kitchen party au send-off mfano jina langu me ni AISHA naweza weka cup cakes za letter "A" kama uonavyo hapo chini zikawa packed vizuri na zikawekwa katika kila meza kwa kila mtu,kuna idea nyingi za cup cakes,Want more? Wasiliana nami through 0717-162797 au waweza kuja Upanga,Mtaa wa Mfaume Plot No.909 karibu na Chuo cha Mzumbe,Karibuni sana LONGA DELICACIES

Damask Session

Hii style ya michoro ya maua inaitwa Damask...Enjoy!!

Monday, September 19, 2011

Happy Birthday Aunt Bella..


Today is the birthdate of my teacher who taught me how to make cakes from scratch..she is just a sweet loving being and i am so lucky to know her coz she also gives me a motherly guide in my life,
sorry Maria and Lisa but she is "OUR" mother not only yours..lol
Wishing u all the happiness in this world..
Happy Birthday...

Sunday, September 18, 2011

Reminice Ramadan...part 2

IfTAR @Sofia and Faraji's place...
Menu ndo kama hiyo uinonavyo

Gents Side
Mrs Omar Ngunde akiweka mambo fresh

Mrs Cholo Mbili kwa pozi....

Ladies Side


Da Tabu huyo




Mie nilikaa kwenye kona hii kama uonavyo nililenga sekta za nyama nyama...tehtehteh


Maa unashangaa nini?


Adil with Uncle Mody


Mr and Mrs Faraji Mwinjaka wakiwa hoi baada ya wageni kuondoka,me nkajilaza pale kwenye kiti nyuma

Walihakikisha kila mtu kapiga menu ya kutosha na hapo ndo wao wakawa wanajisevia mwishoni

Hoi...
Heee Aunty ysha mbona unapenda picha hivyo?

Sasa zamu yangu na mie niangalie camera..
Na hiyo ndo ilikua mialiko ya iftar za mwisho mwisho ya ramadhan niliona tujikumbushie kidogo...