Saturday, August 20, 2011

Mposheye's Birthday dinner

Mposheye a.k.a Posh kama wengi tuvyozoea kumwita alifanyiwa ka birthday dinner na marafiki zake including me mwenyewe nikiwa mmoja wao,tulichanga kila mtu achokua nacho na kwa vile ni Ramadhan so we decided to do this small thing for his day na yote haya yalipangwa ye mlengwa akiwa hana slightest idea of whats going to happen,was fun kwa kweli...
The three tier Cake from Longa Delicacies


Umeipenda???tutwangie Longa Delicacies tutakurekebishia any cake of your dream with a heavenly taste at an affordable price..0717-162797

Posh aliitwa aje sehemu na kukuta watu wamejikusanya wakimsubiri hapo ndo kafika akiwa haamini alichokikuta

Mwenyewe alijua anaenda maskani kustorisha na washkaji kama kawa kumbe mambo yalikua tofauti
bumbuwazi bado likiendelea..

Washkaji wakimkaribisha na majani maana sioni ua hata moja liloshikwa..


Inaelekea kijana anapenda sana majani...tehtehteh



Wimbo wa birthday ukiendelea..


Birthday boy kwa mapozi..sikuwezi

Pili akimsaidia birthday boy kukata keki

Haya anza kulisha marafiki zako wapendwa...

Lau akipata piece yake


Bibie nancy nae akijitaarisha kisaikolojia kupata keki tamu from Longa Delicacies

Tamu eeeh?

Dada mwenye huo mgahawa tulofanyia sherehe naye akapata piece yake ya cake

Japo me ndo nlopika ila skubaki nyuma nlijihcagulia bonge la piece,sa ntafanyaje kama keki tamu jamani?lazma njipendelee..

Nlichkua piece kubwa mpaka nkashindwa kuimeza yote nkaishia kuchekwa tu..

Jina la huyu dada ni refu wenyewe washazoea kumwita G na sie ndo tunamwita hivyo hivyo,ni mhudumu wa huo mgahawa na yuko poa sana katika huduma zake

Dada mwingine wa hapo kwenye mgahawa nae akijisevia piece yake ya cake



Msaidizi wa kukata keki nae hakubaki nyuma,si unacheki jipiece alojisevia mwenyewe..

Fatma akipata utamu wa keki

Menu yetu ndo ikawa hiyo

Birthday boy akatufungulia dimba..


Mtoto anayesadikika kuzaliwa siku hiyo akiendelea kujisevia


Bibie Nancy akipata menu

Mbaba charles nae ndani ya nyumba..


Swagga za Birthday boy..koti kwa jeans ya kisharobaro..


Dada mwenye hiyo sehemu tuliyofanyia sherehe

Baada ya kula tukakaa kupiga story za hapa na pale

Kisha sherehe ndo ikawa imefika mwisho...hakukua na muziki wala pombe..itikadi ya ramadhan ilizingatiwa ila tulishkuru mlengwa alifurahi hicho kidogo alichotayarishiwa na tunamuombea maisha marefu yenye kheri,baraka na afya tele...

Friday, August 19, 2011

Happy Birthday my Darlings...

Jamani this is just a wonderful week coz my beautiful dadas were brought into this world and just to be a lil selfish think they were brought specially for me,how i love these two beaaaauuutifuull ladies....God only knows
Mrs Nassor Mbilikira a.k.a Maa,She's more than jus a wii to me,she's my big sis and a friend, i think we bond so much coz we both crazy...lol

My sweet darling honey pie sis farida,dunno wat to say but jus LOVE U...think that expresses a lot and i'm just so grateful to have you as my sis..u mean the world to me
This goes to these babes and just wanna say
HAPPY BIRTHDAY....
WISH YOU ALL THE VERY BEST IN YOUR LIVES..
KISSES..

Monday, August 8, 2011

Weight loss kabambe

FROM.....


To....

Bibie sasa hivi ni Size Zero...Ohh yeaaahh sijui hata kafanyaje fanyaje..dduh

Wedding Dresses...Balloons Vs Toilet paper

Ballons Wedding Dress
It's your special day. Wear... balloons?
Huyo ni famous designer Vera Wang ambaye pia ni mbunifu wa Wedding dress ya Kim Kardashian,hapo akiwa na model wake alovaa kitu cha maputo mwili mzima
Another Rie Hosokai creation
Sasa me najiuliza huyu Bi harusi kama ndo atavaa,kwanza,atakaaje?halafu ukiwa plus size si ndo unaishia kusimama mwanzo mwishomaana ukikaa tu full ku burst..
pili,pata picha kwa bahati mbaya akikalia toothpick au pini ya nywele ikachomoka then akaikalia...yakua full majotro hapo

Toilet paper Wedding Dress
Go to the bathroom and design your own wedding dress
Bora ipi hapo uvae maputo mwili mzima usubiri ya burst mchezo uishe au ujitie toillet paper mwili mzima kwenye harusi yako?