Saturday, May 21, 2011

Rahaaaa..utamu



Nilikutana nae eneo la korogwe akipiga zake banana wine hiyo aloshika mkononi yan full maraaaha akaomba afotolewe na kinywaji chake hapo akiwa bwi bwax
Na hiyo ndiyo nyumbani lounge ya kikorogwe zaidi

Inauma...

Hey guys sorry nilikua kimya this week nlipata kisafari cha ghafla ila njiani nilikutana na tukio kama hili 
Hili ni gari lilokua limebeba shehena ya mahindi likiteketea kwa moto katika eneo la ruvu darajani kama uonavyo hapo juu,full mijihasara,inauma,dduh!

Nilijaribu kuuliza kwa waliokua eneo la tukio nikaambiwa dereva wa gari hilo aliambiwa kuwa gari lake lilikua na tatizo taingia usiku wa saa tisa ila hakutilia maanani hadi hapo lilipomwakia moto kama hivyo,ilikua mida ya saa mbili asubuhi wakati nikipiga picha hizi

Gari lionekanavyo kwa mbele

Watu wakisevia mahindi kiulaiiiiiiniiii,ama kweli kifo cha panzi sherehe kwa kunguru
Popcorn hizo zilizookotwa tayari kwenda kukoboewa watu wakajisevie