Monday, April 11, 2011

Hongera kwa viongozi wapya wa CCM

Siku ya jana katika mkutano wa Halmashauri kuu ya CCM uliofanyika jijini Dodoma ulitoa majina mapya wa viongozi wa chama hicho kama ifuatavyo:-
Katibu Mkuu wa Chama-Wilson Mukama
Naibu katibu Mkuu Bara-Abdulrahman Kinana
Katibu wa Itikadi na uenezi-Nape Nnauye
Katibu wa Uchumi na Fedha-Zakia Meghji
Katibu wa Oganaizesheni-Rehema Nchimbi
                                         Hongera kwa wote waliochaguliwa...

Oven Fresh Creations..Heart Session..