Saturday, September 17, 2011

Reminice Ramadan..part 1

Leo tukumbuke mialiko ya mwisho mwisho ya kufturu siku chache kabla ya Eid
Hapa ni home kwa mariam and nassor ndo tulijiseia makullati haya
Totoz wakisubiri adhana tu hapo

Adil and bamkubwa Mengi

Ladies section palikua kama hivyo


Mwajuma and Parul



Gents side ilikua hivi


Habib akijisevia..

Baba mwenye nyumba Cholo mbili..

Sofia akiteta na mother house mariam
Kitu cha hina+piko pale kati kilikaa freeesh

Sheikh Mengi akifturu alongside Wakili Maina

Mam na Uncle Mody

Pozi za Adil sasa..mtajuaje kama nna vinjino??!

Adil and Aunt Mwajy and Luqman wakiwa kwenye pozi la kushiba futari..